Je nitapata wapi uchambuzi wa hali ya uwekezaji DSE?

Kimbori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
6,112
Reaction score
4,540
Habari za wakati huu ndugu na jamaa zangu?
Nikitambua ya kwamba kuna umuhimu mkubwa wa kujua hali ya uwekezaji, ila habari finyu za uwekezaji kwa Watanzania ni changamoto inayoshusha hamasa kwa uwekezaji.
Naomba kujua chanzo cha habari, hususani tovuti, ninayoweza kupata uchambuzi wa hali ya uwekezaji katika soko la hisa la Dar es salaam (Dar es salaam Stock Exchange).
 
Tembelea website yao,
ila ulisikia wanataka kuleta futures trading iliishia wapi?
 
Nimetembelea hiyi tovuti, ila sijaona uchambuzi wowote ule, uwe wa mwezi au wa wiki. Naomba uweke link kamili hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…