Je! nitaweza kusoma Masters of medicine?

Baraka Ngwavi

Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
20
Reaction score
2
Wadau me nimechaguliwa bachelor of pharmacy KIU, ila naipenda sana medicine je kama nitachukua degree ya phamacy baaday naruhusiw kuja kusoma masters ya medicine ?
 
Hakuna masters ya medicine bali una specialize kwenye eneo fulani lakini haiitwi masters. Hivyo huwezi kubadilisha tu
 
Still uko medical field mkuu! so ina dili sana pia mkuu japo haiwezi kua kama Medicine.
Hakuna masters ya medicine.
 
Still uko medical field mkuu! so ina dili sana pia mkuu japo haiwezi kua kama Medicine.
Hakuna masters ya medicine.

Acha kupotosha mkuu.

CUHAS Kuna Masters ya Medicine

M.Med [Internal Medicine,Obstetrics and Gynecology,Surgery,Pediatrics,Anesthesia] ambayo husomwa miaka mitatu.

Tembelea www.bugando.ac.tz for more info.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna masters ya medicine bali una specialize kwenye eneo fulani lakini haiitwi masters. Hivyo huwezi kubadilisha tu

Hiyo unayoisoma kwa ku-specialize ndo inaitwa Masters of Medicine (M.MED) kwa vyuo kama CUHAS hivyo jamaa yuko sahihi.

Eg M.MED [Obstetrics and Gynecology,Surgery,Internal Medicine,Anesthesia,Pediatrics]

Check Academic programs bugando.ac.tz
 
Last edited by a moderator:
Wadau me nimechaguliwa bachelor of pharmacy KIU, ila naipenda sana medicine je kama nitachukua degree ya phamacy baaday naruhusiw kuja kusoma masters ya medicine ???

Huruhusiwi,

Itabidi uanze na MD 5yrs then hiyo M.MED 3yrs kwenye field utakayotaka eg Surgery,Obstetrics and Gynecology etc

Kama unapenda Medicine then postpone kwenda Chuo mwaka huu ili uapply next year

NB.Uwe na qualifications za MD zenye uwezo wa kuhimili ushindani.

Hakuna kitu kizuri kama kufanya kitu ukipendacho maishani.

SEE YOU AT THE TOP.
 
umejuaje kuwa umepata md pale kiu? hata hivo ukifika chuo unaweza kubadilisha,ila sijajua kwenywe suala la mkopo itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…