Je Niudhaifu Wa Rais wa JMT??

Je Niudhaifu Wa Rais wa JMT??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Nashindwa kuelewa kama ulikuwa udhaifu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania kuruhusu zanzibar kurekebisha katiba yao kabla Yakurekebishwa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania??Kwani sikupata kusikia wakati wa Ml,Julius Nyerere Zanzibar ikibadrisha katiba kabla ya kupitia ya JMT au ilikuwa ikifanyika tujuzeni!!
 
Back
Top Bottom