joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mbinu mwafaka ni zile ambayo zinatolewa na wataalamu wa afya, wizara za afya, WHO na mashirika husika, sio wanasiasa. Wala ukiukaji wa haki za kibinadamu, kutoka kwa polisi wakiwa kwenye utekelezaji wa mikakati ya kuzuia mikusanyiko ya watu haihusiani moja kwa moja na kuzuia maambukizi ya virusi hivyo. Punguzeni unafik bana. Hivyo hivyo kwa wale ambao wanatoa kauli za kishamba. Kwamba virusi hivyo vitatokomezwa na sijui maombi, mwili wa yesu na ibada makanisani na misikitini. Acheni kuingiza uswahili mwingi, ligi za kiboya na kutafuta kiki za kisiasa kwenye masuala nyeti ambayo yanahusu afya na uhai wa binadamu.
This is bad.Ruksa kutembea mchana ila kuanzia jioni ni marufuku,
Ina maana hivi virus havifanyi kazi usiku!
Kwenye nchi ambazo ziko chini ya jeshi ndio mara nyingi wanaweka sheria za kutotembea kuanzia jioni ama usiku,
Kwenye kukurupuka bila kufikiri hawana mpinzani ukanda wote huu.
Umesikiza hiyo hotuba ya Uhuru au kufatilia hafla hiyo ambayo ilikuwa siku ya kitaifa ya maombi? Kuna sehemu ambapo umemsikia rais U.K akisema kwamba watu waendelee kuhudhuria ibada? Au kutoa tamko kwamba kaugonjwa kadogo ka Corona ni kashetani ambako hakawezi kakanawiri kwenye sehemu za ibada au kwenye 'mwili wa yesu'? Hebu kuwa serious jombaa.Sent using Jamii Forums mobile app
Umesikiza hiyo hotuba ya Uhuru au kufatilia hafla hiyo ambayo ilikuwa siku ya kitaifa ya maombi? Kuna sehemu ambapo umemsikia rais U.K akisema kwamba watu waendelee kuhudhuria ibada? Au kutoa tamko kwamba kaugonjwa kadogo ka Corona ni kashetani ambako hakawezi kakanawiri kwenye sehemu za ibada au kwenye 'mwili wa yesu'? Hebu kuwa serious jombaa.
Kwahiyo kila ambacho hajasema Uhuru basi si kosa, lakini alichosema Magufuli ni kosa?.Umesikiza hiyo hotuba ya Uhuru au kufatilia hafla hiyo ambayo ilikuwa siku ya kitaifa ya maombi? Kuna sehemu ambapo umemsikia rais U.K akisema kwamba watu waendelee kuhudhuria ibada? Au kutoa tamko kwamba kaugonjwa kadogo ka Corona ni kashetani ambako hakawezi kakanawiri kwenye sehemu za ibada au kwenye 'mwili wa yesu'? Hebu kuwa serious jombaa.
Ujinga wetu hatutawacha na usitarajie tuwache hata siku moja.Kwahiyo kila ambacho hajasema Uhuru basi si kosa, lakini alichosema Magufuli ni kosa?.
Sasa anayefanya makosa iweje hadi sasa anaonyesha mafanikio makubwa katika kukabiliana na kuenea kwa virusi vya Corona, wakati huyo mnayamtea hali inazidi kuwa mbaya?.
Acheni ujinga wenu wa kujifanya ninyi mko sahihi kwa kila kitu na muanze kujifunza toka kwa wanaofanya vizuri. Mumeshindwa kujifunza toka Tanzania jinsi ya kumaliza ukabila, Mumeshindwa kujifunza jinsi ya kupambana na rushwa, hata hili inaonekana mnashindwa kujifunza badala yake mnatoa sababu za kijinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tarehe 18 mwezi Machi, siku nane zilizopita.hizo dawa kenya walianza kupuliza since last week.
Pingli-nywe, kwanini hataki kujifunza kwa waliofanikiwa badala yake mnafanya vitu vya ajabu?. Tatizo lenu ninyi hamjifunzi mnapenda kukurupuka Sana.Offcourse utasema ni povu kwasababu unachowaza wewe ni porojo, siasa za peni mbili na kusifia sifia mtakatifu wenu. Soma hizi taarifa na uangalie tarehe kwa umakini. City public health officials start fumigating public places in
Tumia akili,usiwe kubwa jingaUmesikiza hiyo hotuba ya Uhuru au kufatilia hafla hiyo ambayo ilikuwa siku ya kitaifa ya maombi? Kuna sehemu ambapo umemsikia rais U.K akisema kwamba watu waendelee kuhudhuria ibada? Au kutoa tamko kwamba kaugonjwa kadogo ka Corona ni kashetani ambako hakawezi kakanawiri kwenye sehemu za ibada au kwenye 'mwili wa yesu'? Hebu kuwa serious jombaa.
Kwani hafla hiyo ya maombi ya kitaifa, ya dini zote kwa pamoja, ilikuwa hiyo jana au leo? Hiyo hafla pale ikulu ndio ilikuwa mara ya mwisho ya ibada au mikusanyiko yeyote ya kidini kufanyika nchini Kenya, marufuku haijalegezwa hata kidogo. Najua unajitia tu hamnazo lakini umenielewa.Watu waendelee kuhudhuria Ibada kiaje wakati hiyo ni ibada, Unafiki na kukurupuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe endelea kutumia makalio yako bila wasiwasi.Tumia akili,usiwe kubwa jinga
Acha maneno mengi na theories za kusifia bila matokeo. Mliopiga marufuku ibada mpo na wagonjwa wangapi, na walioruhusu ibada wapo na wagonjwa wangapi?. Msituletee maneno ya Bigger GDP ambayo haionekani on the ground, kila mradi mnakopa. We need to see the effects on the ground.Kwani hafla hiyo ya maombi ya kitaifa, ya dini zote kwa pamoja, ilikuwa hiyo jana au leo? Hiyo hafla pale ikulu ndio ilikuwa mara ya mwisho ya ibada au mikusanyiko yeyote ya kidini kufanyika nchini Kenya, marufuku haijalegezwa hata kidogo. Najua unajitia tu hamnazo lakini umenielewa.