Je? nurse wanalipwaje mishara yao wale wenye diploma.

nguzo87

Member
Joined
Sep 12, 2013
Posts
29
Reaction score
0
naombeni nipate kufunguka mshahara kamili wa wauguz diploma ..asante
 
ngoja watakuja kukupa info zote wanaofahamu mi mwenyewe sijui ila nataka nijue!
 
Nurse mwenye dipolma na Clinical officer wanapata mshahara mmoja, wanaanza na TGHS B.1 ambayo ni kama 598,000/=
Hapo umenipata?
 
Nurse mwenye dipolma na Clinical officer wanapata mshahara mmoja, wanaanza na TGHS B.1 ambayo ni kama 598,000/=
Hapo umenipata?
Dah sio mbaya kwakunzia maana sawa na mwalimu mwenye digrii yake! Ngoja nikipata nafasi ya chuo nikakomae na miziki ya anatomy na phyisiology
 
Dah sio mbaya kwakunzia maana sawa na mwalimu mwenye digrii yake! Ngoja nikipata nafasi ya chuo nikakomae na miziki ya anatomy na phyisiology

Mwalimu anaheshimika zaidi ya mtu yeyote. Maana mwalimu anapokea "shikamoo" nyingi zaidi kwa siku kuliko hata rais wa nchi...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…