Je, nyani jike au sokwe jike wanapata hedhi?

Jamii ya sokwe hupata periods .... Ingawa wao huchukua muda mrefu zaidi.....
 
Kwa binadamu akiwa kwenye hitaji la mimba anaweza kujizuia ndio maana tunaona hedhi,ila kwa wanyama akiwa kwenye hitaji la mimba ni ngumu kujizuia kwa sababu madume yatakuwa yanamfuata kwa ajili ya kurutubisha, na hedhi isionekane. Sijafanya utafiti ila nahisi ndio hivyo, kwa kuanzia kwenye hii pointi yangu, nadhani tuingie field ili tuweze kupata majibu.
 
Uko vizuri. JF idumu
 
Kwenye huu uzi kuna mkanganyiko ktk mtiririko wa coment
Uyo anayetaka kuuwawa anaakili timamu
 

Wanyama uliowataja wanapata?
 
Umeeleweka sana mkuu
 
Mkuu umefunga Uzi kwa upande wangu.
 
Kwa hiyo ulitaka uwatafutie wahisani wa damu salama wawagawie pedi huko maporini kama wanapata hedhi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…