Je, Nyerere hakuwa na mabaya katika utendaji wake?

Je, Nyerere hakuwa na mabaya katika utendaji wake?

mtweve

Member
Joined
Mar 28, 2009
Posts
96
Reaction score
8
Kila mtu anasema mazuri ya mwl Nyerere, ina maana hakuna mabaya yake?

Pengine kupitia hayo tutajifunza kitu
 
Linapokuja suala la mizani, hapo ndipo tunamuweka Mwl. Nyerere ( RIP) na kupima uzito wa mema na mabaya upande upi unazidiwa na humo ndimo unapata jawabu kwanini mwalimu ana-exit? MABAYA YAMEZIDIWA NA MEMA YA MWALIMU. Hakuna mtu ambaye ni malaika!!
 
Mkuu mabaya alikuw nayo kwa kua naye ni bin Adamu, ila kwa kuwa na mengi mazuri yanafunika mabaya.
 
Kuna wakati aliwahi kukili kuwa ktk kuongoza nchi huwezi ukafanya mema tu miaka yote basi wewe utakuwa siyo binadamu. Ndio maana wakati anahutubia mkutano na wazee wa dar es salaam alisema watu wasitazame mabaya aliyoyafanya kama binadamu kwa kipindi chote cha miaka 25 kwami yeye hakuwa malaika
 
Back
Top Bottom