Linapokuja suala la mizani, hapo ndipo tunamuweka Mwl. Nyerere ( RIP) na kupima uzito wa mema na mabaya upande upi unazidiwa na humo ndimo unapata jawabu kwanini mwalimu ana-exit? MABAYA YAMEZIDIWA NA MEMA YA MWALIMU. Hakuna mtu ambaye ni malaika!!
Kuna wakati aliwahi kukili kuwa ktk kuongoza nchi huwezi ukafanya mema tu miaka yote basi wewe utakuwa siyo binadamu. Ndio maana wakati anahutubia mkutano na wazee wa dar es salaam alisema watu wasitazame mabaya aliyoyafanya kama binadamu kwa kipindi chote cha miaka 25 kwami yeye hakuwa malaika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.