Lazima Kijana yupo update, network yake si mchezo, na kwa jinsi alivyo, anaweza kuwaamuru wasaidizi wake, wamtwangie simu huyu anayetumia jina lake vibaya muwa aache mara moja. BO si mchezo, unakumbuka Uganda ktk kikao cha nchi za Africa mwezi wa nane? mwakilishi wake alisoma hotuba kwa niaba yake na akaweka wazi kuwa, atafanya ushawishi kwa mataifa mengine makubwa duniani ili kwamba viongozi wote wa Africa walioweka fedha zao ktk mabenki ya nje, atazitaifisha. That guy is No nonsense......Republican wenyewe pale wamenyosha mikono juu.