Je, ofisi ya Naibu waziri Mwita Waitara imehamishiwa mkoani Mara?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nauliza tu waungwana maana kwa sasa Naibu waziri wa Tamisemi mh Mwita Waitara anapatikana zaidi mkoani Mara kuliko Dodoma yalipo makao makuu ya wizara.

Kila waziri akiamua kwenda kufanyia kazi mkoani kwao sijui hali itakuwaje, maana nights zinaingia daily.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Takukuru
 
Ni sawa tu,hata mkuu alienda kufanyia kazi kule kijijini kwao kwa zaidi ya siku 50.

So wamemuiga mkuu.
 
Kwani kuna mipaka ya eneo la naibu waziri kufanyia kazi? Mara ameshamaliza kazi ya kurudisha kondoo waliopotea. Kwa hiyo hakuna jambo baya alilofanya.
Unawakopi Pccb kwani aligawa pesa?
 
Una bifu na Waitara??? Jana tena ulimpiga kofi kutujulisha alivyokimbizwa na wananchi...
 
Heche amekupa bei gani umchafue naibu waziri
 
Na wala sijamsikia akitembelea mikoa ya Kusini!

Naona kuhamia kanda ya Ziwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…