Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Uchambuzi wangu
Tangu nianze tasnia ya uchambuzi hapa Tanzania...Kila nikiiona Simba naiona ipo kishari shari ( vita) sio Kwa viongozi, wachezaji na viongozi
Tuanze Kwa viongozi
Viongozi wa ukoloni Kuna mwaka waliibua hoja ya kukimbilia Burundi Baada ya kuona Yanga Wana peleka moto ligi kuu ( that was fujo decision)
Wachezaji ( kolo players)
Mwaka 2022 wachezaji Toka ukoloni wakiwa kwenye ligi ya kombe la wamama ( loser cup... shirikisho) waliwasha moto uwanjani pale Sauth Africa dhidi ya orando pirates... though walikandwa heavily
Mashabiki ( kolo fans)
Hawa jamaa ni product ya mwisho ya binadamu wenye ustaarabu[emoji23][emoji23] mwaka 2017 waliwahi kung'oa viti baada ya kukandwa heavily na Yanga
Mwaka 2023 walimpiga shabiki wa Yanga akiwa jukwaa lao. Mwaka huu wamewapiga viongozi wa pamba
NB: Je huoni kuwa Kuna course special makolo ( viongozi wachezaji na Mashabiki) wanafundishwa [emoji32][emoji32] kufanya fujo
Tangu nianze tasnia ya uchambuzi hapa Tanzania...Kila nikiiona Simba naiona ipo kishari shari ( vita) sio Kwa viongozi, wachezaji na viongozi
Tuanze Kwa viongozi
Viongozi wa ukoloni Kuna mwaka waliibua hoja ya kukimbilia Burundi Baada ya kuona Yanga Wana peleka moto ligi kuu ( that was fujo decision)
Wachezaji ( kolo players)
Mwaka 2022 wachezaji Toka ukoloni wakiwa kwenye ligi ya kombe la wamama ( loser cup... shirikisho) waliwasha moto uwanjani pale Sauth Africa dhidi ya orando pirates... though walikandwa heavily
Mashabiki ( kolo fans)
Hawa jamaa ni product ya mwisho ya binadamu wenye ustaarabu[emoji23][emoji23] mwaka 2017 waliwahi kung'oa viti baada ya kukandwa heavily na Yanga
Mwaka 2023 walimpiga shabiki wa Yanga akiwa jukwaa lao. Mwaka huu wamewapiga viongozi wa pamba
NB: Je huoni kuwa Kuna course special makolo ( viongozi wachezaji na Mashabiki) wanafundishwa [emoji32][emoji32] kufanya fujo