Kabisa yaan,,hasa wasabato mahubil yao ni Papa na Ukatoliki tuuu mxiiiiuuuYani humu jf nimeshakutana na uzi kama tano hivi zote ni kuhusu papa na ukatoliki. Mpaka napata kinyaa juu ya hii kampeni yao. Nadhani wanavyoona krismasi ikipata waumini washerehekeaji wengi wamepagawa. Watakua wameambiwa waanze kusambaza upuuzi wao kwenye mitandao ya kijamii!
Badala ya kutukana ungejibu hoja za mleta mada ili tuone upumbavu wake!Wewe ni mpumbavu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] fanya kazi acha kueneza vitu usivyovijua mpuuzi wewe
Haujauona basi nawe ni shidaBadala ya kutukana ungejibu hoja za mleta mada ili tuone upumbavu wake!
Kitabu chako kinakubal ndoa za jinsia 1?Quran ni kitabu cha shetan alichompa jamaa mmoja anaitwa muddy miaka ya 600s
Huyu mtoto ndani ya siku mbili kaanzisha topic zaidi ya sita kuponda ukatoliki.Zile safari za chupa ndogo ndio zinaitwaga kirukuu ama ni zipi umetumia mkuu?
Dogo Msabato kapania kuwamaliza Wakatoliki [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mtoto ndani ya siku mbili kaanzisha topic zaidi ya sita kuponda ukatoliki.
Uozo gani au chuki tu, ?Mkuu kwa huu uozo ulioibua huyu dogo hajaku_inbox vitisho kweli ?