johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwanabodi Pascal Mayalla alileta uzi hapa akituelezea Uwezo wa CAG kikatiba ni sawa kabisa na Jaji Mkuu na kwamba agizo lake ni sawa na bill.
Leo Rais Magufuli amesema CAG siyo muhimili na mihimili ni mitatu tu Serikali, Bunge na Mahakama
Na kwamba CAG kwa kiswahili ni Mkaguzi na Mdhibiti mkuu wa Hesabu za serikali ILA mwenye serikali yupo.
Nakuomba mkuu Pascal Mayalla uje utolee ufafanuzi ule uzi wako vinginevyo utuombe radhi kwa kutulisha matango.
NAMSUBIRI mkuu Pascal Mayalla
Maendeleo hayana vyama!
Leo Rais Magufuli amesema CAG siyo muhimili na mihimili ni mitatu tu Serikali, Bunge na Mahakama
Na kwamba CAG kwa kiswahili ni Mkaguzi na Mdhibiti mkuu wa Hesabu za serikali ILA mwenye serikali yupo.
Nakuomba mkuu Pascal Mayalla uje utolee ufafanuzi ule uzi wako vinginevyo utuombe radhi kwa kutulisha matango.
NAMSUBIRI mkuu Pascal Mayalla
Maendeleo hayana vyama!