sir charito
Member
- May 14, 2019
- 58
- 25
Juzi katika pitapita zangu ktk maonyesho ya kilimo nilikutana na taasisi hii ya PASS kuwa wanajihushisha na mikopo kwa mkulima hivyo kwa kuwa benk nyingi hazimpi mkopo mkulima ila hawa wamejitanabaisha kuwa wanamdhamini mkulima apewe mkopo na hivyo kuongeza tija kwa mkulima lkn nahisi na wao kwa kuwa wapo katikati ili kuhakikisha unapatiwa mkopo na benk ni wazi kuwa nao ni wanufaika sasa wadau naomba ushaur wadau hii taasis kama kuna mdau kawai itumia au kuifaham zaid tunaomba ufafanuz ili kama ina msaada basi wakulima tuitumia naomba kuwasilisha.