Je, pengo la Mchungaji Msigwa limeonekana kwenye kampeni za Chadema? Na huko CCM je, Msigwa ame-add value ya Chama Tawala?!

Je, pengo la Mchungaji Msigwa limeonekana kwenye kampeni za Chadema? Na huko CCM je, Msigwa ame-add value ya Chama Tawala?!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeona hapa Iringa Masai mmoja anaongoza kampeni za Chadema kwa viwango vilivyotukuka na nyomi la kutosha kabisa na chenji inabaki

Wadimi wa hapa Kihesa wameniambia anaitwa Sosopi

Ametisha sana 😂😂
 
Back
Top Bottom