Rutorial k
JF-Expert Member
- Jun 8, 2014
- 960
- 855
hahahaha....haya mkuu nashukuru..ngoja nikatii kiu yangu mana koo linaita ile mbaya....asante snaMkuu kama dozi umemaliza jana,leo nenda kachape tu mtindi haina shida.
Tii kiu yako bhanaaa!!.
N:B. Wewe ni mlevi tu ungelikuwa mnywaji wa wastani usingefakamia viroba baada ya kuishiwa.
Pombe ina madhara (na sio madhala) mengi tu kiafya.
Kuwa makini.
du tena! basi hivyo nimetupa kulemkuu kama na viroba umeanza,,baaaasi,,,
usitegemee kufikia 60yrs maana liver cirhosis inakuhusu