Je pombe ina madhara yoyote kiafya?

Rutorial k

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2014
Posts
960
Reaction score
855
mimi ni mtumiaji wa pombe hususani beer ila nikiishiwa napiga voroba vya konyagi.unywaji wangu ni wa kaiwada sana yani huwezi kutambua kama nimekunywa zaidi ya kuchangamka na kuwa mcheshi.kwa kuwa sijawa mzoefu sana naomba ushauri ili nichukuwe tahazari mapema..

pia leo najisikia kunywa sana ila jana usiku nilimalizia dose ya malaria vipi nikaburudike au ntakuwa nimeharibu...asante nasana kwa majibu yenu
 
Mkuu kama dozi umemaliza jana,leo nenda kachape tu mtindi haina shida.
Tii kiu yako bhanaaa!!.
N:B. Wewe ni mlevi tu ungelikuwa mnywaji wa wastani usingefakamia viroba baada ya kuishiwa.
Pombe ina madhara (na sio madhala) mengi tu kiafya.
Kuwa makini.
 
mkuu kama na viroba umeanza,,baaaasi,,,
usitegemee kufikia 60yrs maana liver cirhosis inakuhusu
 
hahahaha....haya mkuu nashukuru..ngoja nikatii kiu yangu mana koo linaita ile mbaya....asante sna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…