sacred wall
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 804
- 1,322
Leo ni tarehe 24/12/2019. wazee wastaafu wanahaha na vijisenti vya kula sikukuu.
Kama mmefilisika toeni taarifa watu wajue fate yao.
Ni upuuzi kutowalipa haki yao wakati mnajua kuwa leo ni sikukuu nao wanahitaji pesa iwasaidie.
Serikali imelipa watumishi tangu 20th, nyinyi mmeziba masikio!
Kama mmefilisika toeni taarifa watu wajue fate yao.
Ni upuuzi kutowalipa haki yao wakati mnajua kuwa leo ni sikukuu nao wanahitaji pesa iwasaidie.
Serikali imelipa watumishi tangu 20th, nyinyi mmeziba masikio!