Je, Raila Odinga &Co. watakubali kushindwa 2017?

Je, Raila Odinga &Co. watakubali kushindwa 2017?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Wakati shamra shamra za maandalizi ya uchaguzi 2017 zikiendelea kwa nguvu zote, hakuna shaka kwamba Raisi Uhuru Kenyata ataweza kushinda uchaguzi ujao, lkn swali ni kwamba Je, yule Mzee mshari Raila Odinga atakubali matokeo ya uchaguzi? Ikumbukwe kwamba yule mzee sasa hivi ana miaka nafikiri kwenye 70 hivi, hivyo kwa hali ya kawaida hii ni karata yake ya mwisho ya kujaribu kuwa Raisi wa Kenya, na hapo ndipo tatizo lilipo, sasa sijui safari hii atatumia kisingizio gani kwa maana kama Tume ya uchaguzi imeshaondolewa nafikiri, ina maana hiyo mpya ina baraka za Upinzani pia kama niko sahihi!
 
Stick to ur CCM down south hapa county assembly elections are more hot that presidential Hatuna wakati na National goverment after all Raila ana suggest 70% of total budget ziende county govts that is 14bn$ soon national govt itabaki kuwa na nguvu tu militarily nothing more .....jishuglishe kuunda katiba itakayo wasaidia tuwache ma kenya yetu
 
Kama hawezi kukubali matokeo hafai hata kuwa kiongozi!!!
Huwezi kwenda kwenye uchaguzi wakati wewe hutakubali matokeo ya huo uchaguzi Kama hayako upande wako!
 
Sammuel999, ukiwa humu una haki ya kujadili chochote, usilete upumbavu wako wa Kikenya humu wakati mnamsema Magufuli.

Back to the point, kusema kweli ile patnership ya Wakikuyu na Wakalenjin haiwezi mruhusu hata kama atashinda ballots!
 
Am not even sure kama raila ndio atakuwa cord flag bearer cord bado haija chagua its presidential candidate and running mate .....

ODM imemchagua Raila Ford kenya imemchagua wetangula Wiper party itamchagua kalonzo

Amani ya musalia mudavadi itamchagua musalia na Narc itamchagua Martha karua delegates will meet and vote whom they preffer to be cords flagbearer raila isnt yet cord presidential candidates muache mengi na hamjui siasa za Cord .....jubilee isnt cord .....mpaka ule wakati cord watapatana Bomas na delegates wao kama jubilee walivyo fanya wiki iliyo pita ndio muanze kuongea there is a highly likely hood Raila will not be cords flagbearer ,ODMs maybe! But not cord kuna difference kati ya ODM na CORD


ODM NI CHAMA CORD NI MUUNGANO WA CHAMA 7 semi autonomously if i may put it that way


geza kanywe magufuli na CCM mpaka 2063 ambapo borders zitakuwa abolished africa
 
Tumuulize rafiki yake ambae kila akienda Chato wanakutana,atakuwa na majibu mazuri
 
But this Jamii forum app is good tanzanians [emoji108] [emoji106]

1473853578767.png
 
ina depend na tume ya IEBC... ikifanya uchaguzi 70% huru kila mtu atakua hana budi ila kukubali
 
Kafrican also if either cord or jubilee win with 20% points ahead hakuna mse atazusha .....this election if jubilee wins will be landslide margins but cord wins it will be close
 
ina depend na tume ya IEBC... ikifanya uchaguzi 70% huru kila mtu atakua hana budi ila kukubali


Sijawahi kuona Mwafrika akikubali kushindwa uchaguzi maisha yangu yote, hiyo 70% huru kama ulivyoiita ni relative!
 
Back
Top Bottom