Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umemsingle out Raila pekee, na ni sheria gani hiyo amevunja?Ni kama vile yuko juu ya Sheria za Kenya, inaonekana kwangu Raila Odinga hawezi kukamatwa wala kushitakiwa hata afanye kosa, kwa maana Wajaluo watafanya ,,uprising" hivyo Serikali inahofia machafuko kumgusa hata kama kavunja Sheria, ...
Akihusika na kosa la jinai, bila shaka hatua za kisheria zutachukua mkondo wake. Mkono wa sheria ni ndefu na nzito kuliko hizo kelele za vyura ambayo ni vitisho vya hawa wafuasi wake.Lkn Tanzania yetu ukiondoa Raisi wa nchi, hakuna ambaye hawezi kukamatwa, au niseme hakuna ambaye akikamatwa kutakuwa na uprising kama Kenya, leo hii Raila Odinga akishikwa patakuwa hapatoshi Kisumu, kwa kifupi hakuna Mtanzania ambaye yuko tayari kufanya fujo kwa ajili ya kumtetea Mwanasiasa!
Mheshimiwa Ndugai alimpiga mtu bakora ya kichwa hadi akazimia, vipi alifanywa nini na vyombo husika? au nae yupo juu ya sheria?Ni kama vile yuko juu ya Sheria za Kenya, inaonekana kwangu Raila Odinga hawezi kukamatwa wala kushitakiwa hata afanye kosa, kwa maana Wajaluo watafanya ,,uprising" hivyo Serikali inahofia machafuko kumgusa hata kama kavunja Sheria, ...
Hata hapo Tanzania, ni vipi yule aliyevamia studio za Clouds tv hakuchukuliwa hatua zozote?
Barbarosa said: ↑
Lkn Tanzania yetu ukiondoa Raisi wa nchi, hakuna ambaye hawezi kukamatwa, au niseme hakuna ambaye akikamatwa kutakuwa na uprisingkama Kenya, leo hii Raila Odinga akishikwa patakuwa hapatoshi Kisumu, kwa kifupi hakuna Mtanzania ambaye yuko tayari kufanya fujo kwa ajili ya kumtetea Mwanasiasa!