Je! Rais anaweza kuvunja bunge bila bila kupoteza urais wake?

Joined
Jan 15, 2012
Posts
14
Reaction score
2
Jamani wadau naomba msaada wenu kuhusu huu uvumi wa Rais kutakakuvunja bunge.Je anauwezo wa kikatiba wa kufanya hivyo wakati wote wamechaguliwa na wananchi? na anaweza kufanya hivyo bila yeye kupoteza nafasi yake?
 
i did not mean to pass here....later on...duh!!!!
 
Jamani wadau naomba msaada wenu kuhusu huu uvumi wa Rais kutakakuvunja bunge.Je anauwezo wa kikatiba wa kufanya hivyo wakati wote wamechaguliwa na wananchi? na anaweza kufanya hivyo bila yeye kupoteza nafasi yake?
Hayo yote yanawezekana kwa mujibu wa katiba ya sasa. Pia Bunge linaweza kumshitaki Rais ndani ya Bunge na kumvua Urais wake na wabunge wakaendela kupeta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…