Je, Rais Hajui maana ya Neno "SIJUI'??? Tumsaidie

aisee hata mimi sijui kwa nini tuko hapa belinda heheheeeeeeeeeeee UTINGO unajua???
 

Basi tuamue kwa pamoja kumsamehe huyu Baba wa mwenzetu
 
sijui hata mimi na ndo mana alisema hajui kwanini watanzania ni masikini kweli hajui nimeamini sasa tumwache kwa kuwa hajui na je ni kweli kuwa hajui au anajifanya hajui ,
 
ooohhh . du tatizo na mimi sijui kama JK hajui kwamba watanganyika hawajui kwamba yeye ni mkulu wao
 
Isiwe taabu, Yule ambaye hajui na anajua kuwa hajui, muelimisheni atajua vizuri tu.
Lakini yule ambaye hajui na hajui kuwa hajui mwacheni aendelee na kutokujua kwake,
maana hata mumtwange kwenye kinu pamoja na mpunga atabaki kuwa HAJUI.
 
Isiwe taabu, Yule ambaye hajui na anajua kuwa hajui, muelimisheni atajua vizuri tu.
Lakini yule ambaye hajui na hajui kuwa hajui mwacheni aendelee na kutokujua kwake,
maana hata mumtwange kwenye kinu pamoja na mpunga atabaki kuwa HAJUI.

Una maana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…