GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Nichukue nafasi hii kwa mujibu wa Katiba Kutangaza kuwa idadi ya Watu wote waliohesabiwa Usiku wa Sensa ni 61,741,120 hivyo Watanzania kwa muda wa miaka hii Kumi tumeongezeka kwa Asilimia 3.2 tu" Rais Samia Suluhu.
Chanzo: Media zote Tanzania
"Taarifa iliyotolewa Juzi ya Watu 61,741,120 siyo ya Watanzania wote bali imejumuisha hadi wale wasio Watanzania na idadi Kamili ya Watanzania itatolewa Mwezi Machi mwakani 2023" Mtakwimu Mkuu Dk. Albinus Chuwa.
Chanzo: Radio One Nipashe Asubuhi hii
Nitarejea tena baadae ila Kazi ipo!!
Chanzo: Media zote Tanzania
"Taarifa iliyotolewa Juzi ya Watu 61,741,120 siyo ya Watanzania wote bali imejumuisha hadi wale wasio Watanzania na idadi Kamili ya Watanzania itatolewa Mwezi Machi mwakani 2023" Mtakwimu Mkuu Dk. Albinus Chuwa.
Chanzo: Radio One Nipashe Asubuhi hii
Nitarejea tena baadae ila Kazi ipo!!