Je, Rais Zelensky anahitaji kuishukuru USA ukizingatia mambo haya 6?

Je, Rais Zelensky anahitaji kuishukuru USA ukizingatia mambo haya 6?

PASUKA

New Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
4
Reaction score
7
Binafsi sioni sababu za Zelensky kuendelea kuishukuru Marekani, wakati amefanya hivyo mara nyingi. Tena kipindi hiki Ukraine yuko kwenye wakati mgumu sana, kwa kuzingatia kwamba:

1. Trump ameweka wazi kwa zelensky kuwa hawawezi kuungana na NATO.
2. Trump na watu wake wameweka wazi kama kuna international peacekeeping force in ukraine American solder hawatashiriki
3. Bado wana sisitiza Ukraine must hold new presidential election kabla makubaliano ya amani hayajaanza
4. Uhusiano kati ya US na Russia umeanzishwa rasmi baada katibu wa ikulu and waziri wa mambo ya nje kukutana Saudi arabia
5. Trump ana taka Russia wajoin G7
6. US wali vote NO kwenye UN resolution ambayo waliilaani Russia kuivamia Ukraine
 
Kwa sababu Zelenskyy angekuwa na akili, vita Ukreni vingeepukwa kabisa. Aache kushikiwa akili.

Nchi yake imeharibika, watu wamekufa na kulemaa; marafiki zake wa Ulaya na Marekani wanataka kugawana mali na madini ya nchi yake.

Zelenskyy now wishes he had made peace with Putin long before the war broke out. Too late!

Waliomdanganya aingie vitani, hawana uwezo wa kumsaidia; mbaya zaidi bado wanaendelea kumjaza upepo!
 
Trump kadhihirisha kua marekani Kwa vita ni biashara na sasa lazima Ukraine walipie,deni(zelensky akiamini ni msaada) limekua kubwa sanaa
 
Back
Top Bottom