Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
Baada ya Mharagande wa ACT-WAZALENDO kuripoti mauaji ambayo yametokea (W) ya Kaliua Rc Tabora ataka ajieleze au kueleza alichokisema ni sahihi .
Je serikali bado inaendelea kutisha watu?
Na je Maharagande akithibitisha kweli watu wameuwawa, wamebakwa, na akaleta ushahidi serikali ipo teyari kuwashughulikia waliofanya unyama huo?
Je serikali bado inaendelea kutisha watu?
Na je Maharagande akithibitisha kweli watu wameuwawa, wamebakwa, na akaleta ushahidi serikali ipo teyari kuwashughulikia waliofanya unyama huo?