Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Umofia kwenu Great Thinkers,
Je baada ya mbinyo huu wa serikali kuondoa fedha zake ma benki binafsi inaweza kupelekea haya ma benki kushindana kutafuta wateja wa kawaida.
Yaani ushindani huu unaweza kupunguza riba?
Yaani ili kuwavuta wateja ma benki haya binafsi yanaweza kupunguza riba?
Na je kwa wale wanaotarajia kuanzisha kufungua biashara ya bank inaashiria nini kwa siku zinazokuja?
Je baada ya mbinyo huu wa serikali kuondoa fedha zake ma benki binafsi inaweza kupelekea haya ma benki kushindana kutafuta wateja wa kawaida.
Yaani ushindani huu unaweza kupunguza riba?
Yaani ili kuwavuta wateja ma benki haya binafsi yanaweza kupunguza riba?
Na je kwa wale wanaotarajia kuanzisha kufungua biashara ya bank inaashiria nini kwa siku zinazokuja?