Riba ndiyo kwanza zitapanda, maana hela waliyokuwa wanatukopesha serikali imeichukua, kwa hiyo wamebaki na fedha kidogo sana, na kutakuwa na screening ya kufa mtu kabla ya kukopeshwa.
uchumi wa Tanzania hupo organized sana, wanaoweka fedha benki ni wachache hivyo na fedha za kwenda kukopesha watu zinakuwa ni zile kidogo zinazotokana na watu walioweka fedha kwa kuwa serikali ishachukua fedha zake
Naona Riba kushusha ni ngumu kwa kuwa watakuwa na uhaba wa fedha za kukopesha zaidi
Wacha tu na mabenk nao yamezidi riba kubwa
Nilikua na project yangu nikakopa bank ya access sh ml 90 kwa mda wa mwaka 1 na nusu rejesho lake ilikua ml 27 hapo si unaona kama ma Ni mwezi kabisa
kuna uwezekano riba ikaongezeka ili kuwavutia watu waweke pesa zao benki, na riba za mikopo zitaongezeka pia maana benki watafanyia biashara pesa za wateja tu ambao watalazimika kuwalipa riba kubwa kwa kadri fedha zao wanavyozikalisha muda mrefu benk