Je, Rwanda kweli inawasaidia M23? Ubelgiji yaitaka Rwanda kuacha kuwaunga mkono waasi hao

Je, Rwanda kweli inawasaidia M23? Ubelgiji yaitaka Rwanda kuacha kuwaunga mkono waasi hao

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Ubelgiji imeitolea wito nchi ya Rwanda "kusitisha msaada wowote" kwa waasi wa M23 wanaoendelea na mapigano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baada ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa kubaini kuwa kundi hilo liliwaua raia 131 mwezi uliopita.

Wizara ya mambo ya nje ya Ubelgiji ilisema jana katika taarifa yake kuwa kundi la M23 lazima lisitishe mara moja uhasama na kujiondoa katika maeneo yaliyo chini ya udhibiti wake.

Aidha, Ubelgiji imelaani vikali mauaji ya idadi kubwa ya raia, huku ikisisitiza kuwa wahusika wa mauaji hayo hawawezi kuachwa bila kuadhibiwa.

Ubelgiji imetaka pia kukomeshwa kwa mahusiano kati ya mamlaka yoyote ya Kongo na kundi la FDLR.

Mgogoro wa M23 umesababisha kuongezeka kwa mvutano kati ya Kongo na jirani yake Rwanda, ambapo Kinshasa inaituhumu Kigali kuwaunga mkono waasi hao.

Rwanda imekana kutoa msaada wowote na kwa upande wake inaishutumu Kongo kwa kushirikiana na waasi wa FDLR wanaohusishwa na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.
 
Kwanini iwe sasa?.. ....what is not happening?. Washirika wanakemea?
 
Ubelgiji imeitolea wito nchi ya Rwanda "kusitisha msaada wowote" kwa waasi wa M23 wanaoendelea na mapigano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baada ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa kubaini kuwa kundi hilo liliwaua raia 131 mwezi uliopita.

Wizara ya mambo ya nje ya Ubelgiji ilisema jana katika taarifa yake kuwa kundi la M23 lazima lisitishe mara moja uhasama na kujiondoa katika maeneo yaliyo chini ya udhibiti wake.

Aidha, Ubelgiji imelaani vikali mauaji ya idadi kubwa ya raia, huku ikisisitiza kuwa wahusika wa mauaji hayo hawawezi kuachwa bila kuadhibiwa.

Ubelgiji imetaka pia kukomeshwa kwa mahusiano kati ya mamlaka yoyote ya Kongo na kundi la FDLR.

Mgogoro wa M23 umesababisha kuongezeka kwa mvutano kati ya Kongo na jirani yake Rwanda, ambapo Kinshasa inaituhumu Kigali kuwaunga mkono waasi hao.

Rwanda imekana kutoa msaada wowote na kwa upande wake inaishutumu Kongo kwa kushirikiana na waasi wa FDLR wanaohusishwa na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.
Shinikizo kama hizi ndio njia pekee ya kumaliza uvamizi wa Rwanda huko Drc...
mtu chake Moronight walker
 
In Rwanda, OSINT reports of burials of Members of the National Army "RDF" in a country not at war worrying. Domestic pundits claim the belligerents died in DR-Congo.
20221211_084101.jpg
20221211_084557.jpg
20221211_084618.jpg
20221211_084622.jpg
 
Tsisekedi anapigwa na Wa Comaman bana! alfu kitu ubaguzi eti huyu kuonekana mtusi kitaiangusha congo.


 
1) According to a reliable source, more than 38 lower ranking officers (from Majors to 2nd Lieutenants) of Rwanda Defence Force have died since April 2022 to present, in this round of invasion of a sovereign country, DR Congo. https://t.co/XXGBIpygnl
 
Nos frères Rwandais continuent à périr sur le front du KagaM23 😥😥, juste pour les intérêts de Kagame, M7 et leurs familles respectifs 😥😥. Réveillez-vous chers frères. Vos familles n auront même pas des indemnités ni la compassion de la part de Kaga. https://t.co/OWj1sadlQR
 
1) According to a reliable source, more than 38 lower ranking officers (from Majors to 2nd Lieutenants) of Rwanda Defence Force have died since April 2022 to present, in this round of invasion of a sovereign country, DR Congo. https://t.co/XXGBIpygnl
Dah!..Fardc wanapambana Sana kwa Sasa, wamejitahidi mno kusuka hili jeshi japo bado mengi yanahitajika.
mtu chake
 
Back
Top Bottom