Je, sababu ya uhaba wa maji kwa zaidi ya miezi mitatu mfululizo jijini Mwanza, nayo ni ukame wa ziwa Victoria?

Je, sababu ya uhaba wa maji kwa zaidi ya miezi mitatu mfululizo jijini Mwanza, nayo ni ukame wa ziwa Victoria?

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,119
Reaction score
4,569
Kwa zaidi ya miezi mitatu mfululizo, jiji la Mwanza limekuwa na uhaba mkubwa wa maji unao ongezaka kila kukicha. Chanzo chake cha maji ni Ziwa Victoria. Sababu zinazotolewa ni pamoja na ukame ulioikumba nchi nzima kuanzia kipindi cha kiangazi.

Ni kweli kwamba Ziwa Victoria nalo zamu hii limekauka kwa sababu ya Global Climate Change? Mbona inakuwa kama hakuna anayejali kama kule kwenye jiji la Dar ambako uhaba wa maji ulipojitokeza ndani ya wiki tatu visima virefu vinachimbwa kila sehemu?

Uhaba wa umeme unazoeleka, huu wa maji hauzoeleki.
 
Daah hawa watu hawana hata aibu? Yaani maji yote ya ziwa lkn bado hakuna maji kwa Bomba? Kweli tz nyoso.
 
Back
Top Bottom