Mapenzi Kudadenya
Member
- Apr 25, 2020
- 33
- 61
Na kama haitoi nitumia sabuni gani?
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana inaondoaNa kama haitoi nitumia sabuni gani
Nawasilisha
Inawezekana inaondoa
Lakini ninavyofahamu mimi ngozi ya mwili wa binadamu inatofautiana kwa kila mtu kulingana na maumbile, inawezekana ikawa ilimsaidia mtu mwingine na wewe isikusaidie kuondoa.
Nakushauri muone mtaalamu wa maswala ya ngozi akushauri bidhaa inayofaa kutumia
Sifa ya ziada ya sabuni hiyo ni imara sana kwenye maji yenye chumvi nyingi