Je, Samatta atawika Uturuki?

Abby Newton

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2017
Posts
1,252
Reaction score
2,253
Kwa tuliomuangalia ndugu yetu Diego aka Samagoal akicheza mechi yake ya kwanza akiwa Fenabahce dhidi ya Galatasaray.

Je, kuna dalili ya ndugu yetu kuwika kama alivyokuwa Genk?
 
Wewe kwa maoni yako kulingana na dakika alizocheza jana, unaonaje mkuu?
 
fenerbahce fc table - بحث Google

Mbwana Samatta alicheza weekend iliyopita mechi yake ya kwanza huku Uturuki katika pambano baina ya Gatasaray Vs Fenabahce. Nadhani huu ni mwanzo mzuri

Mawazo Hayapigwi Rungu, Mawazo Yanashindwa Na Mawazo Yaliyo Bora Zaidi J.K Nyerere,1988
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…