Je, Samia ni Rais kivuli kama inavyodaiwa na vyombo vya habari vya nje?

Anguko la humu jukwaani huko mtaani bado sana CCM ipo na simuoni mwanasiasa mwenye haiba nzito na ubunifu wa kuja na kipya huko upinzani.

Magufuli alikuwa binadamu na siku zote maisha haya yana mwisho kwa kila mtu. Alikuwa ni mtu wa miaka 61 hakuwa kijana wa miaka 25.
 
samia ni bendera fata upepo amri zote zinatoka kanisani
 
Kuna sense inaniambia hata hizi ziara ziara za huyu mama huko nje ni mpango mkakati wa inner cycle kwa ajili ya kuratibu mambo yao fulani fulani ambayo sio kwa ajili ya manufaa ya nchi akiwa hayupo nje ya mipaka ya Tanzania.
Sema nini kuna dalili huko baadaye ndoa takatifu ya vyombo vya usalama kama jeshi na wahafidhina wa ccm ikafa. Guess what A coup d etat
 
Kamuulize mbowe na lile kundi lake ndio utapata majibu
 
Wakuu wa Majeshi ya ulinzi ndo wanaongoza nchi hii hasa kwa Kumtishia maisha Mama Samia Suluhu Hassan
1.Inspector General of police(IGP)
- Simon Sirro
2.Commander of defence force(CDF)
- Venance Mabeyo
Hii ni legacy ya Magufuli
She's under siege,international community has to intervene
 
Yote haya ni police kutamka mh.Mbowe anatuhuma ya ugaidi ikakolezea huwa anaratibu kupanga njama za kuua viongoz wa juu wa serikali.Kitu cha siku mbili tu tumechafuka kimataifa.Mbowe ni nani?
 
Yote haya ni police kutamka mh.Mbowe anatuhuma ya ugaidi ikakolezea huwa anaratibu kupanga njama za kuua viongoz wa juu wa serikali.Kitu cha siku mbili tu tumechafuka kimataifa.Mbowe ni nani?
MATAGA mlipanga kumchafua Mbowe, ila kimataifa nyie ndo mmejichafua wenyewe
 
Amka mkuu kumeshakucha huko nje. Mapinduzi sio kwa jeshi hili ambao baadhi yao wanapewa vyeo vya ukuu wa mikoa na wilaya.
 
Sasa kama alikuwa na makandokando mengine ambayo yalikuwa mengi sana anakuwaje president na nusu? Hapo hakuna kitu! Lilikuwa jamaa moja la hovyo hovyo tu!
 
Nalo kama halijielewi shauri ya lenyewe! Linakubali kuburuzwa kama lina mtindo!
 
Sasa kama alikuwa na makandokando mengine ambayo yalikuwa mengi sana anakuwaje president na nusu? Hapo hakuna kitu! Lilikuwa jamaa moja la hovyo hovyo tu!
Naona wewe ni mpita njia na wala huna muda wa kusoma na kuelewa kilichoandikwa kabla hujabandika mawazo yako ambayo hayaendani kabisa na ulichosoma.
Unapotezea watu muda.
 
Mkuu huyu Amsterdam mwanamke toka lini amekuwa kiongozi? kiongozi wa nini?
 
Hao wasimtishe Rais wetu, kila kiongozi anayeamua mambo kwa faida ya nchi na raia wake ilimradi anagusa maslahi yao basi kwao atatungiwa jina wanalolipenda wao...Shame on them!
 
Mtajua hamjui nyie wapinzani uchwara.
Hawa jamaa ni kituko Sana . mama akiwakamia wanamlaumu kuwa ni dikteta. Akikaa kimya wanaanza conspiracy zao Mara ooh nchi inaongozwa na jk. Kama ni hivyo basi wanapowekwa ndani wawe wanamlaumu jk kuwa ndo kawaweka.
 

Tushikiane visu kwa ajili ya yule dhalimu aliyeko motoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…