Je, Samia ni Rais kivuli kama inavyodaiwa na vyombo vya habari vya nje?

Chadomo mnakazi sana kifupi tulieni tutaelewana tu! Maandamano lini vile?
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejishika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakuna kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm, ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi.

Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwanini wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutuumiza kwa madai yetu halali? Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
 
Ila Sukuma gang ni wahamiaji haramu kutoka jamii ya Hutu na Tutsi walioingia Tanganyika kwa awamu nne ..1920's,1950's,1970's na 1990's..Sasa mwakani Kuna Sensa muanze kujipanga kurudi kwenu haraka iwezekanavyo au tunawapa kesi ya ugaidi😂😂😂
 
Nchi inayumbishwa na S. gang .
Wana magroup yao wanadanganyana kuwa yule mkabila mwenzao aliuawa.

Kwa sababu walijua kuwa nchi imeshakuwa Mali yao wakajazana kwenye idara zote. Sasa wanahisi maza mkubwa atawapangua wanatumia nafasi zao kwenye dola kuuaminisha umma kuwa Mbowe ni gaidi.


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hawa jamaa ni kituko Sana . mama akiwakamia wanamlaumu kuwa ni dikteta. Akikaa kimya wanaanza conspiracy zao Mara ooh nchi inaongozwa na jk. Kama ni hivyo basi wanapowekwa ndani wawe wanamlaumu jk kuwa ndo kawaweka.
Hivi umeelewa ulichokiandika?
 
Kama Ni hivyo hata 2025 akigombea tusimkubali. Tunataka rais kamili. Mwenye maamuzi binafsi, siyo kivuli Cha rais
 
Jibu ni jepesi tu nenda kimboka kawatazame malaya kisha jiulize bwana wa malaya ni yupi jibu utalipata kuwa ..malaya wote ni mabwana zake..
 
We unataka kuziponza biashara za wachaga! Si uliona mahoteli ya CRDB yakikosa hata pesa ya usafi? Magazeti mengine yako maktaba tu!
 
Kuna vita kali kati ya Diwani TISS na Mabeyo CDF, tuendeleeni kula mtori tu.
 
Ashasembeko legeza tako, dawa ikuingie baaaarabara, sindano isivunjikie takoni.

Samiah sio Rais kivuli. Samiah ndo Rais wako anayekuongoza na alieko madarakani, wee ulishaona wapi kivuli kinaongoza nchi?

Tena ninyi wanawake mchukue mfano wa kuchacharika na maisha kwa huyo mama. Huyo ndo role modal wenu.
 
CdM na ajenda yenu mfu...tafuteni lengine. Mama Samia yupo vizuri.
 
Kwenye "uchafuzi" wa 2020, MaCCM waliteua wagombea wanawake wasiozidi 25 kugombea kwenye majimbo, CHADEMA iliteua wanawake zaidi ya 50... ni muhimu kukumbushana hili leo ikiwa ni siku ya Demokrasia na Mh Rais anakutana na wanawake... Tanzania ina majimbo 264
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…