Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,252
Ndugu wajasiriamali,
Kama mnavoona hali ya chakula nchini ikiwa vizuri kabisa. Cha kustabisha wafanyabiashara ya mahindi namba zinasomeka kwelikweli saivi kilo kuanzia 400 /=
Tatizo linakuja mtu ulinunua kwa sh 650 au 700, hatari tupu jamani, Serikali msije mkarudia tena hii kitu wengine mahindi ndio korosho zetu.Saivi mvua inanyesha kisawasawa kiasi kwamba February mwanzoni watu wanaanza kuneemeka.
Ni hayo tu
@Darubinisaid
Kama mnavoona hali ya chakula nchini ikiwa vizuri kabisa. Cha kustabisha wafanyabiashara ya mahindi namba zinasomeka kwelikweli saivi kilo kuanzia 400 /=
Tatizo linakuja mtu ulinunua kwa sh 650 au 700, hatari tupu jamani, Serikali msije mkarudia tena hii kitu wengine mahindi ndio korosho zetu.Saivi mvua inanyesha kisawasawa kiasi kwamba February mwanzoni watu wanaanza kuneemeka.
Ni hayo tu
@Darubinisaid