Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 861
- 2,515
Mwezi Oktoba 2024 serikali kupitia Waziri Kikwete walitangaza kwa mbwembwe kubwa kuwa watumishi wote wastaafu wanaolipwa pension yao kupitia Hazina wataongezewa kiasi cha 50,000 kuanzia January 2025 baada ya kilio cha muda mrefu sana kuwa hiyo laki moja haikidhi lolote kwa wazee hao walio tumikia nchi hii katika nyanja mbalimbali ikiwemo JWTZ, Afya, Elimu, uhandisi nk kwa uaminifu mkubwa.
Kwa maumivu makubwa January hii wamegundua kuwa waziri Ridhiwani Kikwete hadi sasa awajapata hayo pasion yao ya ongezeko
Na hili ni wazi boss wao Samia Suluhu analijua sana ila naye hawajali wazee. Wazee wa Zanzibar wao muda mrefu Rais Mwinyi Alisha waongeza laki moja na kama chao cha chini cha pension ni laki mbili tokea July.
Sawa, CCM na serikali yake haimjui mwenye njaa maana wao wanajimegea keki huku wamesahau kuwa hao wazee ndio walioanza kuipika kwa uaminifu mkubwa.
Wazee hawana la kuwafanya ila waweza kuwaombea dua wanaowajali, kwa umoja wao wanaweza kuwaombea dua kina Lissu na Chadema yao wafanikiwe pengine watapata viongozi wanaojali wazee.
Hata vijana jee hamchukizwi wazazi wenu kudhalilishwa kwa kudanganywa?
Kwa maumivu makubwa January hii wamegundua kuwa waziri Ridhiwani Kikwete hadi sasa awajapata hayo pasion yao ya ongezeko
Na hili ni wazi boss wao Samia Suluhu analijua sana ila naye hawajali wazee. Wazee wa Zanzibar wao muda mrefu Rais Mwinyi Alisha waongeza laki moja na kama chao cha chini cha pension ni laki mbili tokea July.
Sawa, CCM na serikali yake haimjui mwenye njaa maana wao wanajimegea keki huku wamesahau kuwa hao wazee ndio walioanza kuipika kwa uaminifu mkubwa.
Wazee hawana la kuwafanya ila waweza kuwaombea dua wanaowajali, kwa umoja wao wanaweza kuwaombea dua kina Lissu na Chadema yao wafanikiwe pengine watapata viongozi wanaojali wazee.
Hata vijana jee hamchukizwi wazazi wenu kudhalilishwa kwa kudanganywa?