mills93
Member
- May 26, 2016
- 66
- 57
Nashangaa sana Serikali inafumbia macho hili swala la mishahara viwandani, watu wana kandamizwa sana. Ujira mdogo na hawapati pesa ya maendeleo bali kula tu na nauli. Kwanni serikali imefumbia macho kuhusu hili?
Sometimes wanasema vijana hawataki kazi lakini mtu anakaa Gongo la Mboto na kazi anafanya Buguruni, anapewa elfu 5 kwa siku. Tena unakuta anafanya kazi masaa 12 kwa siku.
Jiulize anafanya maendeleo gani wakati akirudi home ana buku 2 au 3, then inabidi ale usiku na kesho aende job na anatumia nauli.
"VIJANA wake UpI!!!"
Sometimes wanasema vijana hawataki kazi lakini mtu anakaa Gongo la Mboto na kazi anafanya Buguruni, anapewa elfu 5 kwa siku. Tena unakuta anafanya kazi masaa 12 kwa siku.
Jiulize anafanya maendeleo gani wakati akirudi home ana buku 2 au 3, then inabidi ale usiku na kesho aende job na anatumia nauli.
"VIJANA wake UpI!!!"