Je, serikali inaenda kuruhusu Crypto-currency nchini?

Je, serikali inaenda kuruhusu Crypto-currency nchini?

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Kama mnavyojua katika Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2024/25 kuna kodi kadhaa zimependekezwa ikiwemo kodi ya kwenye Digital Assets. Bunge limeshatoa wito kwa wadau kupeleka mapendekezo yao kwenye marekebisho ya sheria ya fedha ambayo inaenda kuleta hiyo kodi ya Amali za Kidigitali.
Screenshot 2024-06-25 at 15-18-28 Tanzania_Finance_Bill_2024_1718886325.pdf.png

Kwa mujibu wa muswada uliopo wa Finance Act 2024, digital Assets ni vitu vyote vyenye thamani ya fedha ikiwemo Cyptocurrency au hata tokens. Na atakayelipa kodi ya zuio ni yule mwenye platform ya kubadili assets hizo kuwa fedha halali, mathalani mwenye platform ya kubadili Cyptocurrency kuwa fedha halali.

Hata hivyo tukumbuke Crypto currency Tanzania haipo, na mtu akitaka kubadilisha anakumbana na mchakato mkubwa mara nyingi inahusisha kuondoka kidogo nchini.

Swali ni Je, Sheria hii inaenda kuruhusu Crypto currency? Na kutokana na usiri wa Cryptocurrency serikali inawezaje kuhakikisha complience kwenye hili?
 
Kama mnavyojua katika Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2024/25 kuna kodi kadhaa zimependekezwa ikiwemo kodi ya kwenye Digital Assets. Bunge limeshatoa wito kwa wadau kupeleka mapendekezo yao kwenye marekebisho ya sheria ya fedha ambayo inaenda kuleta hiyo kodi ya Amali za Kidigitali.
View attachment 3025827
Kwa mujibu wa muswada uliopo wa Finance Act 2024, digital Assets ni vitu vyote vyenye thamani ya fedha ikiwemo Cyptocurrency au hata tokens. Na atakayelipa kodi ya zuio ni yule mwenye platform ya kubadili assets hizo kuwa fedha halali, mathalani mwenye platform ya kubadili Cyptocurrency kuwa fedha halali.

Hata hivyo tukumbuke Crypto currency Tanzania haipo, na mtu akitaka kubadilisha anakumbana na mchakato mkubwa mara nyingi inahusisha kuondoka kidogo nchini.

Swali ni Je, Sheria hii inaenda kuruhusu Crypto currency? Na kutokana na usiri wa Cryptocurrency serikali inawezaje kuhakikisha complience kwenye hili?
Hauwez kuanzisha sheria ya hiyo Kodi huku hizo kampuni hazipo au hazijapewa leseni hapa bongo. Ni undezi tu wa akili.
 
Kama ulifanya Notcoin ukapata Hela ya kula ukafanya Dogs ukapata Hela ya simu mpya basi njoo ufanye hii mpya ujipate kimaisha this time tunaifanya 100% na kwa atayekosa 1,000$+ basi huyo kamwe sio mpambanaji


Project zote mbili zimeletwa na timu hiyo hiyo ambayo imepika mchongo huu basi join chap then kaa nasi tukupe mbinu za kukusanya mkwanja mrefu


Join kupitia hii link na si nyingine kuwa makini na fake links

 
Back
Top Bottom