Emmanuel Mkwama
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 166
- 124
Wanajukwaa heri nyingi ziwafikie. Dhumuni la kuja kwenu leo, ni kujaribu kushare nanyi kuhusu inshu ya serikali yetu kushindwa kutoa mikopo ya tractor kwa wajasilia mali wakulima wenye kumiliki mashamba kwanzia heka 10 na kuendelea.
Natumai hili swala ni zuri sana kama wenye kulifanya hili kutolifanya kibinafsi zaidi. Nikiwa na maana kuacha siasa kutumika ili malengo na nia ya dhati katika kufanikisha suala hili.
Natumai hili swala ni zuri sana kama wenye kulifanya hili kutolifanya kibinafsi zaidi. Nikiwa na maana kuacha siasa kutumika ili malengo na nia ya dhati katika kufanikisha suala hili.