Sera ya ardhi na kilimo kwanza ikoje?
Imepinda au imenyooka?
Serikali ya sasa ina mpango wa kutenga ardhi yenye rutuba na kugawa kwa wananchi wanaohitaji au ardhi wanatenga kwa ajili ya wawekezaji tuuu?
Pamoja na serikali kuja na mkakati wa kilimo kwanza, je ardhi vipi kwa watanzania walio wengi au ardhi ni kwa wawekezaji tuu?
Vyama vya uoinzani vina sera gani ya kilimo??
Chama kipi cha upinzaji kina sera ya kuwakomboa watanzania?
Sera gani au mpango wa ardhi kutengwa na kugawa kwa wananchi, ni chama gani kinasera ya ukombozi?
Imepinda au imenyooka?
Serikali ya sasa ina mpango wa kutenga ardhi yenye rutuba na kugawa kwa wananchi wanaohitaji au ardhi wanatenga kwa ajili ya wawekezaji tuuu?
Pamoja na serikali kuja na mkakati wa kilimo kwanza, je ardhi vipi kwa watanzania walio wengi au ardhi ni kwa wawekezaji tuu?
Vyama vya uoinzani vina sera gani ya kilimo??
Chama kipi cha upinzaji kina sera ya kuwakomboa watanzania?
Sera gani au mpango wa ardhi kutengwa na kugawa kwa wananchi, ni chama gani kinasera ya ukombozi?