Mh.Serukamba katika gazeti la Mtanzania la 07/03/2009 anasema Sitta na mwakyembe wanaihujumu CCM.Haya maneno ni ya kweli kwa mwakilishi wa wananchi na anayewatakia maendeleo wananchi wake.
Je Serukamba anapata wapi jeuri ya kumshutumu Spika kwenye vyombo vya habari.Si bure kuna kitu kinaendelea katika nchi hii ambayo imefichwa.
Wana JF mtupe data kuhusu suala hili.
Mimi ninafikiri Sitta na Mwakyembe wanaihujumu ufisadi na mtandao wa wahujumu uchumi wa TZ.
Je Serukamba anapata wapi jeuri ya kumshutumu Spika kwenye vyombo vya habari.Si bure kuna kitu kinaendelea katika nchi hii ambayo imefichwa.
Wana JF mtupe data kuhusu suala hili.
Mimi ninafikiri Sitta na Mwakyembe wanaihujumu ufisadi na mtandao wa wahujumu uchumi wa TZ.