Je, shahawa hukuza umbo na kufanya ngozi kuwa laini na nyororo ?

Je, shahawa hukuza umbo na kufanya ngozi kuwa laini na nyororo ?

1~ wakati wa sex hasa hasa wakati ambao mwanamke hayuko kwenye siku zake, shahawa hufanya kazi ya kurutubisha mwili hivyo kutengeneza figure matata la mwanamke.

2~ pale mnapo_ngonoka jamaa akikaribia kumwaga, mwanamke chap kwa haraka huzikinga shahawa au jamaa anammwagia binti kwenye mwili/ngozi yake na binti kujipaka mwilini kama mafuta.

wajuzi tupeni uthibitisho.....
Wazinzi buana,utawajua
 
Hao wanawake wa namna hiyo mnawapata wapi?

We jamaa unaubavu wa kutoa hiyo kitu ya kumtosha mlimbwende ajipake mwili wote?
atapaka kdg kdg mpaka zitatosha ila ataanza usoni
 
1~ wakati wa sex hasa hasa wakati ambao mwanamke hayuko kwenye siku zake, shahawa hufanya kazi ya kurutubisha mwili hivyo kutengeneza figure matata la mwanamke.

2~ pale mnapo_ngonoka jamaa akikaribia kumwaga, mwanamke chap kwa haraka huzikinga shahawa au jamaa anammwagia binti kwenye mwili/ngozi yake na binti kujipaka mwilini kama mafuta.

wajuzi tupeni uthibitisho.....
Sasa mbona mwanamke anayefanya mapenzi na wanaume wengi hudhoofika/hukongoroka. Chunguza machangudoa.
 
Sasa mbona mwanamke anayefanya mapenzi na wanaume wengi hudhoofika/hukongoroka. Chunguza machangudoa.
kila kitu kina utaratibu wake, wale wanafanya kwa ajili ya pesa tuu na weng wao hutumia dawa
 
Sasa mtu akiwa bonge kama nanihii utamwaga shahawa ndoo ngapi mpk ajipake mwili mzima?
 
Side effects za kuangalia pono.
Ajipake kwanza mwenyewe, na aje kuthibitisha.
 
plz mods tafadhali huu uzi upelekeni jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki.
 
Back
Top Bottom