Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 913
- 582
Umeishi nae tu bila ndoa? If yes! Hajaqualify kuwa mke dhania chn ya kifungu cha 160 cha sheria ya ndoa! Upande wa mali kama kuna ngv yake basi mtaenda pasu au atapewa kiasi alichochangia, kesi ya BI HAWA MOHAMED
Nime ishina mwana mke kwa muda wa miezi kuminambili bahati nzuri mwanamke kanikuta nime nunua kiwanja na nika anza kujenga nyumba mpaka kwenye renta na baadaye tuka malizia wote ndani ya mwaka 1 huohuo.je tutakapo achana MWANAMKE anahaki katika ilenyumba ikiwa hatimiliki ni za mume?
Nikifungukipi chasheri kita msaidia mwana mke kugawiwa sehemu ya nyumba hiyo au kukosa ,huku ukizingatia hatukuwahi kuzaa naye?