Je, Sheria Inaruhusu Wakili Wa Mshitakiwa Kuwa Shahidi Wa Mshitaki?

Je, Sheria Inaruhusu Wakili Wa Mshitakiwa Kuwa Shahidi Wa Mshitaki?

Mwabhleja

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2016
Posts
1,351
Reaction score
2,061
Turejee kesi ya serikali dhidi ya Kamanda Tundu Lissu ambapo mawakili wa serikali walitaka wakili Kibatala aliyekuwa upande wa Lissu awe shahidi namba 1 wa mshitaki.

Kwa kuwa Wakili Kibatala tayari alikuwa na maslahi na Kamanda Tundu Lissu, mawakili wa serikali walipata wapi imani kwamba Kibatala atakuwa turufu kwao?

Na je kisheria mawakili wa serikali walikuwa na trick nzuri au walishindwa cha kufanya?

Tujadili
 
RULES OF PROFESSIONAL CONDUCT AND ETIQUETTE OF THE TANGANYIKA LAW SOCIETY prohibits double dealings for an advocate. An advocate is only responsible to his client and the court of law.
Hizo nyingine ni sarakasi tu za mawakili wetu wa serikali,
 
Back
Top Bottom