Turejee kesi ya serikali dhidi ya Kamanda Tundu Lissu ambapo mawakili wa serikali walitaka wakili Kibatala aliyekuwa upande wa Lissu awe shahidi namba 1 wa mshitaki.
Kwa kuwa Wakili Kibatala tayari alikuwa na maslahi na Kamanda Tundu Lissu, mawakili wa serikali walipata wapi imani kwamba Kibatala atakuwa turufu kwao?
Na je kisheria mawakili wa serikali walikuwa na trick nzuri au walishindwa cha kufanya?
Tujadili