Je, sheria inasemaje kuhusu raia kujitwalia madaraka na kuunda tume huru za uchunguzi?

Je, sheria inasemaje kuhusu raia kujitwalia madaraka na kuunda tume huru za uchunguzi?

Rich Dad

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
748
Reaction score
135
Wataalamu wa sheria naombeni muongozo wenu, maana tumeshapoteza imani na Bunge, Jeshi la polisi pamoja na mwenendo wa mahakama juu ya masuala mbalimbali. Je raia wenye nia njema wakiamua kujiundia tume huru ya kuchunguza suala la Dr. Ulimboka, itakuwa ni kosa kisheria?
 
Back
Top Bottom