Je, Sheria ya Makosa ya Mtandao(Cybercrime Act) inasemaje kuhusu hili?

Askari Muoga

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
6,113
Reaction score
4,658
Je, sheria ya Makosa ya mtandaoni(Cybercrime Act) inasemaje kuhusu kutumia jina ambalo sio lako katika akaunti za Mitandaoni?

Je, kama inakataza vipi kuhusu sisi WanaJF tunaotumia majina ambayo sio yetu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…