NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Je, Shirika la ndege Tanzania linatoka Shimoni kwenda gizani? - BBC News Swahili
Serikali ya Tanzania imeendelea kuagiza ndege za aina mbalimbali zikiwemo zingine nne mpya licha ya Shirika lake la ndege (ATCL) kutengeneza hasara ya mamilioni ya dola katika kipindi cha miaka mitano mpaka kumi mfululizo.