Je, shirika la TANESCO linapata faida inayo iwezesha kujiendesha?

Je, shirika la TANESCO linapata faida inayo iwezesha kujiendesha?

DaudiAiko

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
372
Reaction score
310
Wanabodi,

Hizi ndiyo gharama halisi za kuunganishiwa umeme kwenye nyumba yako na TANESCO. Je haya yote ni ya kweli? na kama ni ya kweli, je shirika hili linapata faida ya kuiwezesha kujiendesha?

 
TANESCO, RELI, TBC nk sio MaShirika ya kujiendesha kibiashara Mkuu bali yamelenga kutoa huduma kwa Umma na hivyo yanategemea ruzuku ya Serikali kujiendesha kwa kiasi fulani
 
unategemea waziri akwambie ukweli fikiria tena fikiria kweli mita na waya mita 30 ni 800k anavyosema Februari fikiria dawasa hata urefu wa mita 2 ni 300k kuunganisha wakati mita za bomba ni 2000 kwa mita moja
 
TANESCO, RELI, TBC nk sio MaShirika ya kujiendesha kibiashara Mkuu bali yamelenga kutoa huduma kwa Umma na hivyo yanategemea ruzuku ya Serikali kujiendesha kwa kiasi fulani
Huduma hii inatolewa kwa njia ipi na nani anajukumu la kugharamikia huduma hii?. Unaona ni sawa kwa wananchi kulipia 27,000 kuunganishiwa umeme wakati gharama halisi ni 800,000?. Hii ni huduma au tunalipia kwa njia isiyo ya moja kwa moja?
 
Huduma hii inatolewa kwa njia ipi na nani anajukumu la kugharamikia huduma hii?. Unaona ni sawa kwa wananchi kulipia 27,000 kuunganishiwa umeme wakati gharama halisi ni 800,000?. Hii ni huduma au tunalipia kwa njia isiyo ya moja kwa moja?
Kwani MSD anapokuuuzia Panado 30 kwa Sh.500/= wakati gharama halisi ni sh.2,000/= hii ni huduma au tunalipia kwa njia isiyo ya moja kwa moja? The same kwa Mbolea nk nk
Hicho kinachozidi serikali imekilipia kwa jina la RUZUKU ili nyinyi wananchi msishindwe kupata hizo mkuuu.
 
Kwani MSD anapokuuuzia Panado 30 kwa Sh.500/= wakati gharama halisi ni sh.2,000/= hii ni huduma au tunalipia kwa njia isiyo ya moja kwa moja? The same kwa Mbolea nk nk
Hicho kinachozidi serikali imekilipia kwa jina la RUZUKU ili nyinyi wananchi msishindwe kupata hizo mkuuu.
Ninacho jaribu kusema ni kwamba ili shirika hili liweze kuwa saidia watanzania hata kwa muda wa miaka ishirini ijayo lazima liweze kujiendesha. Likiweza kujiendesha wananchi watazidi kunufaika kwa muda mrefu. Ni nia njema kusema kwamba shirika linatoa huduma kwa wananchi lakini tofauti ya 27,000 na 800,000 ni kubwa mno. Kodi za wananchi bado zitakuwa zina lipia tofauti hiyo
 
TANESCO, RELI, TBC nk sio MaShirika ya kujiendesha kibiashara Mkuu bali yamelenga kutoa huduma kwa Umma na hivyo yanategemea ruzuku ya Serikali kujiendesha kwa kiasi fulani
Hivyo hata SGR,ATCL navyo haviendeshwi kibiashara?
 
TANESCO, RELI, TBC nk sio MaShirika ya kujiendesha kibiashara Mkuu bali yamelenga kutoa huduma kwa Umma na hivyo yanategemea ruzuku ya Serikali kujiendesha kwa kiasi fulani
Huduma uuzwa na kutengeneza faida pia !
 
Back
Top Bottom