Je, Shomari Kapombe wa SIMBA SPORT CLUB ajiondoe haraka Taifa Stars?

Je, Shomari Kapombe wa SIMBA SPORT CLUB ajiondoe haraka Taifa Stars?

TUPAMBANE

Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
62
Reaction score
88
Maneno maneno Huwa yanaumba Kapombe sasa yule mkata kamba yako naye kaitwa stars sasa je ni wakati wa kuamini kwamba ile kamba yako ilikuwa inakatwa na yeye?

Kama kweli una uhakika kamba yako huwa inakatwa na yule kijana mliyeitwa naye stars ya sasa ni bora ukajitoa kwa maslah mapana ya club yetu Ya Simba. Maana dogo anajua ubora wako ili acheze lazima akate kwanza kamba yako halafu yeye ndiye acheze.

Nakuomba sana Simba tunakutegemea tunalofanya sasa ni kwa maslah ya nchi pia maana tukifuzu tunailetea simba heshima na Nchi heshima, pia tutaisaidia nchi kuingiza timu nne kila mwaka kitu ambacho kitafanya soka letu la Tanzania likue kwa maana tutakuwa tunapambania kwanza top 4 then ukipata top 4 kwenye champion league tunapeleka timu 2 na mbili shirikisho kitu ambacho kitaongeza kuwa na wachezaji wenye uzoefu wa mashindano ya kimataifa.

Kwako ewe dogo Mkata kamba Chonde chonde nakuomba safari hii usikate kamba ya Shomary Kapombe nakuomba sana mwache tunataka tumwone akicheza kimataifa juzi kaonyesha game safi sana na wale Mafarao al ahly. Huko ulipo ni chuo cha vipaji watakuona tena na utarudi jangwani.
 
Kwani hamuwezi muazima kapombe lile li nyau limlinde dhidi ya huyo dogo?
 
Kwenye mechi ya Zambia tulifungwa penalti kutokana na Kapombe kushika mpira.
 
Kwenye mechi ya Zambia tulifungwa penalti kutokana na Kapombe kushika mpira.
pia angalia mara ngapi amesababisha? na je hukuona pressure ilivyokuwa kubwa? na je hukuona kazi aliyokuwa anaifanya? alikuwa anafanya majukumu ambayo hayakuwa ya kwake hivyo alichoka maana yeye ilikuwa kama ndio mwenye timu
 
Maneno maneno Huwa yanaumba Kapombe sasa yule mkata kamba yako naye kaitwa stars sasa je ni wakati wa kuamini kwamba ile kamba yako ilikuwa inakatwa na yeye?

Kama kweli una uhakika kamba yako huwa inakatwa na yule kijana mliyeitwa naye stars ya sasa ni bora ukajitoa kwa maslah mapana ya club yetu Ya Simba. Maana dogo anajua ubora wako ili acheze lazima akate kwanza kamba yako halafu yeye ndiye acheze.

Nakuomba sana Simba tunakutegemea tunalofanya sasa ni kwa maslah ya nchi pia maana tukifuzu tunailetea simba heshima na Nchi heshima, pia tutaisaidia nchi kuingiza timu nne kila mwaka kitu ambacho kitafanya soka letu la Tanzania likue kwa maana tutakuwa tunapambania kwanza top 4 then ukipata top 4 kwenye champion league tunapeleka timu 2 na mbili shirikisho kitu ambacho kitaongeza kuwa na wachezaji wenye uzoefu wa mashindano ya kimataifa.

Kwako ewe dogo Mkata kamba Chonde chonde nakuomba safari hii usikate kamba ya Shomary Kapombe nakuomba sana mwache tunataka tumwone akicheza kimataifa juzi kaonyesha game safi sana na wale Mafarao al ahly. Huko ulipo ni chuo cha vipaji watakuona tena na utarudi jangwani.
Hamis Kessy
 
Wanasemaga serikali ina wachawi sana ngoja tuone
 
Kessy sijawahi mkubali maisha yaani, japo sio mbaya kivile.
Ile kitendo cha kutuchomesha makusudi ( vs yanga) kilinikera nahisi ni 2015 ilikuwa ile, ila vicent Angban ( kipa wakati ule) aliniwakilisha vyema akakabonda ngumi.
Nakumbuka mkuu
Mungu ndio mlipaji wa yote
 
Kessy hata mechi na yanga alichomesha alijifanya anashambulia kumbe akaacha nafasi makusudi
 
Back
Top Bottom