Je Shuke yako ya Msingi Uliyosoma Imekuwa ya Ngapi Kitaifa Kati ya Shule 15656 Mwaka Huu 2013

Je Shuke yako ya Msingi Uliyosoma Imekuwa ya Ngapi Kitaifa Kati ya Shule 15656 Mwaka Huu 2013

Sabi Sanda

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
409
Reaction score
31
Wakuu,

Habari za kazi na habari za jioni.

Naomba kila mmoja wetu na kila Mtanzania apate nafasi ya kuingia kwenye tovuti ya baraza la Mitihani la Taifa www.necta.go.tz na kuangalia matokeo ya shule yake ya msingi aliyosoma na kisha kutujulisha. Angalia mkono wako wa kulia juu kwenye tovuti ya NECTA utapata matokeo hayo.

Pia itakuwa vizuri ukitujulisha idadi ya wanafunzi waliofanya mitihani na wastani wa shule yako kati ya maksi 250.

Jioni njema kwenu wote.



Modes,

Naomba title ya hii thread isomeke Shule badala ya Shuke.
Asante.
 
WALIOFANYA MTIHANI : 49
WASTANI WA SHULE : 110.5102
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 131 kati ya 261
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 468 kati ya 920
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 4820 kati ya 15656
 
WALIOFANYA MTIHANI : 67
WASTANI WA SHULE : 92.4328
NAFASI YA SHULE
KIWILAYA: 163 kati ya 210
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 728 kati ya 903

NAFASI YA SHULE KITAIFA : 9805 kati ya 15656
 
Nafasi kitaifa 20,000 lakini bado nilipenya na sasa ni kipanga wa kufa m2 hapa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
WALIOFANYA MTIHANI : 67
WASTANI WA SHULE : 92.4328
NAFASI YA SHULE
KIWILAYA: 163 kati ya 210
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 728 kati ya 903

NAFASI YA SHULE KITAIFA : 9805 kati ya 15656

Asante Mkuu. Huo wastani ni wa chini sana. Ina maana katika kila somo kwa wastani kila wanafunzi wa shule yako amepata alama 36.97312 kati ya alama 100. Jitahidi mshirikiane na shule ili iweze kufanya vizuri mwakani. Jina la shule ni muhimu pia kuliweka.
 
WALIOFANYA MTIHANI : 49
WASTANI WA SHULE : 110.5102
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 131 kati ya 261
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 468 kati ya 920
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 4820 kati ya 15656

Asante. Je shule yako inaitwaje. Jitahidini mwakani ili wastani wa shule yako usiwe chini ya 160.0000

 
Kwa miaka hiyo ya enzi za Mwalimu ilikuwa ni shule inaogopwa sasa hizi enzi zenu ndo matokeo kama haya, hakuna walimu, walimu waliopo hawana mshahara na kama upo mpaka kuufuata wilayani na nauli ya kwenda na kurudi karibu mshahara umekwisha, mazingira magumu maana uchumi wa wazazi nao ndo hivyo umeuliwa na serikali yenu hii ya CCM

Asante Mkuu. Huo wastani ni wa chini sana. Ina maana katika kila somo kwa wastani kila wanafunzi wa shule yako amepata alama 36.97312 kati ya alama 100. Jitahidi mshirikiane na shule ili iweze kufanya vizuri mwakani. Jina la shule ni muhimu pia kuliweka.
 
Kwa miaka hiyo ya enzi za Mwalimu ilikuwa ni shule inaogopwa sasa hizi enzi zenu ndo matokeo kama haya, hakuna walimu, walimu waliopo hawana mshahara na kama upo mpaka kuufuata wilayani na nauli ya kwenda na kurudi karibu mshahara umekwisha, mazingira magumu maana uchumi wa wazazi nao ndo hivyo umeuliwa na serikali yenu hii ya CCM

Asante Mkuu. Hakuna sababu ya kukata tamaa. Naamini mkikusanya nguvu pamoja mliosoma katika hiyo shule pamoja na walimu na wazazi wa shule husika mtarudisha sifa ya shule yenu kongwe. Wekeni lengo la kuwa na wastani usiopungua 160.0000 kila mwaka kati ya maksi 250. Hakuna lisilowezekana.

 
[h=3]NYANZA C - P1304075
[/h] WALIOFANYA MTIHANI : 55
WASTANI WA SHULE : 121.9636
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 38 kati ya 94
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 184 kati ya 873
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 2695 kati ya 15656

nitaumiss sana mwaka wangu.... 2005!
 
[h=3]NYANZA C - P1304075
[/h] WALIOFANYA MTIHANI : 55
WASTANI WA SHULE : 121.9636
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 38 kati ya 94
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 184 kati ya 873
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 2695 kati ya 15656

nitaumiss sana mwaka wangu.... 2005!

Nice thread kaka,
nimeipenda ila, Edit vizuri hyo head, yake ni #SHULE siyo #SHUKE
 
[h=3]NYARUGUSU PRIMARY SCHOOL - P2404135
[/h] WALIOFANYA MTIHANI : 133
WASTANI WA SHULE : 108.1955
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 41 kati ya 163
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 195 kati ya 549
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 5360 kati ya 15656
 
[h=3]MWANGA-KILIMANJARO
KILAWENI PRIMARY SCHOOL - P0704017
[/h]WALIOFANYA MTIHANI : 26
WASTANI WA SHULE : 144.8462
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 13 kati ya 111
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 74 kati ya 920
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 967 kati ya 15656

HONGERA SANA MADOGO ZETU,GOOOOD
 
Mmi ya kwangu imekua ya 88 kitaifa kudos ngaramjini p/s..
 
MWANGA-KILIMANJARO
KILAWENI PRIMARY SCHOOL - P0704017


WALIOFANYA MTIHANI : 26
WASTANI WA SHULE : 144.8462
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 13 kati ya 111
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 74 kati ya 920
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 967 kati ya 15656

HONGERA SANA MADOGO ZETU,GOOOOD

Wamejitahidi na wanastahili pongezi. Mwaka ujao hakikisheni wastani wa shule yako haupungui 160.0000
 
Mmi ya kwangu imekua ya 88 kitaifa kudos ngaramjini p/s..
[h=3]BUHEMBE PRIMARY SCHOOL - P0503031
[/h] WALIOFANYA MTIHANI : 47
WASTANI WA SHULE : 193.0851
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 7 kati ya 35
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 24 kati ya 903
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 88 kati ya 15656

Naona umeongopa.

 
Back
Top Bottom