Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
NDAMA ni mtoto wa ng'ombe.
pindi inapotokea "NDAMA akawa mkubwa halafu akawa na mama yake, "JE NG'OMBE HIYO ATAITWA NDAMA AU MTOTO WA NG'OMBE '
Chukulia mfano, "wewe umezaliwa,mama yako akawa mama na wewe ukawa mtoto,pindi utapokuwa mkubwa na kupata mtoto halafu ukawa na mama yako,mama yako atakuita mtoto na watoto wako watakuita mama/baba lakini sifa yako ya kuwa mtoto kwa mama/baba yako itabaki vilevile.
"VIPI KWA NG'OMBE ?
pindi inapotokea "NDAMA akawa mkubwa halafu akawa na mama yake, "JE NG'OMBE HIYO ATAITWA NDAMA AU MTOTO WA NG'OMBE '
Chukulia mfano, "wewe umezaliwa,mama yako akawa mama na wewe ukawa mtoto,pindi utapokuwa mkubwa na kupata mtoto halafu ukawa na mama yako,mama yako atakuita mtoto na watoto wako watakuita mama/baba lakini sifa yako ya kuwa mtoto kwa mama/baba yako itabaki vilevile.
"VIPI KWA NG'OMBE ?