Baada ya kuona Mechi Kali ya singida na future fc ya misri na Baada ya kushuhudia pira papatu la makolo .....nimewaza sana kuwa pengine Ile future fc kama ingekuwa club bingwa na kukutana na ndugu zetu
Basi taifa lingepata aibu ya Karne ......Kwa kipa yule Kila shuti lingekuwa goli
Je unahisi wanasimba tungekandwa ngapi kama tungekutana na hawa waarabu[emoji23]